MANCHESTER UNITED, ARSENAL HAKUNA MBABE …nafasi ya pili kwa Wenger ndo basi tena



MANCHESTER UNITED, ARSENAL HAKUNA MBABE …nafasi ya pili kwa Wenger ndo basi tena
Ander Herrera fires Manchester United ahead on the              volley despite the attempts of Alexis Sanchez to get back              and prevent his shot 
Arsenal imelazimisha sare ya 1-1 kwa Manchester United katika mchezo mkali wa Ligi Kuu ya England uliopigwa Old Trafford.
Hata hivyo matokeo hayo yanazima njozi za Arsenal kumaliza katika nafasi ya pili ambayo sasa inakwenda kwa Manchester City.
United walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Ander Herrera kunako dakika ya 30 lakini Arsenal ikachomoa dakika ya 82 kwa bao la kujifunga kupitia kwa Tyler Blackett aliyebabatuizwa na shuti la Theo Walcott.
United iliidhibiti vizuri Arsenal katika kipindi cha kwanza lakini ikawa kwenye wakati mgumu kipindi cha pili hususan baada ya mabadiliko ya kuwatoa Falcao, Rojo na De Gea aliyeumia huku nafasi zao zikichukuliwa na Van Persie, Tyler Blackett na Victor Valdes.
Herrera celebrates his                  first-half goal as United took a deserved lead against a                  lacklustre Arsenal side at Old Trafford 
Herrera akishangilia bao lake Old Trafford 
Marouane Fellaini (left) and                  Ashley Young (right), who both played a part in the                  build-up to the goal, celebrate with HerreraMarouane Fellaini (kushoto) na Ashley Young (kulia), ambao wote walichangia goli wakishangilia pamoja na Herrera
Theo Walcott crosses, and                  the ball is deflected off the unfortunate Tyler Blackett                  to bring Arsenal level at Old Trafford
Theo Walcott akipiga krosi iliyombabatiza Tyler Blackett na kuzaa bao la kusawazisha kwa Arsenal
Walcott celebrates his late                  impact off the bench, although there was a large element                  of luck to the Gunners' equaliser
Walcott akishangilia goli la Arsenal



Comments