MAMA MZAZI WA FALCAO ASEMA MWANAE HANA FURAHA MANCHESTER UNITED




MAMA MZAZI WA FALCAO ASEMA MWANAE HANA FURAHA MANCHESTER UNITED
Mama mzazi wa mshambuliaji Radamel Falcao amesema mwanae hana furaha Manchester United na huenda akaondoka baada ya msimu kumalizika.
Mama huyo Carmenza Zarate, amesema mwanae hana furaha lakini anaheshimu maamuzi ya kocha Louis van Gaal yaliyomwezesha kucheza kwa dakika 90 katika mechi tano tu tangu ajiunge na timu hiyo kwa mkopo.
Mshambuliaji huyo wa Colombia amefunga mara nne tu katika michezo 28 aliyocheza na kusababisha kulaumiwa sana na mashabiki wa United.
Radamel Falcao has had                  plenty of criticism at Manchester United and now his own                  mother has weighed in
Radamel Falcao yuko njia panda
Falcao came on as a                  substitute against Crystal Palace and has only played a                  full game five times
Falcao alitokea bench kwenye mechi dhidi ya Crystal Palace 
The Colombian striker's                  mother Carmenza Zarate admitted her son is unhappy with                  his Old Trafford role
Falaco amecheza kwa dakika 90 katika mechi tano tu




Comments