Kocha wa                Sunderland Dick Advoccat alijikuta akilia baada ya mchezo                dhidi ya Arsenal kumalizika kwa sare ya 0-0 na hivyo                kupata pointi moja muhimu kwao.
            Pointi hiyo                moja ilitosha kuwahakikishia Sunderland kubaki Ligi Kuu                msimu ujao na hapo ndipo kilicho cha furaha cha Dick Advoccat kilipokuja.
            Kocha wa Sunderland              Dick Advoccat akiangusha kilio cha furaha baada ya kupona              janga la kushuka daraja
        Advocaat akikumbatiana              na kiungo  Lee Cattermole huku akilia baada ya mchezo dhidi              ya Arsenal
        
Comments
Post a Comment