KOCHA WA SUNDERLAND DICK ADVOCCAT AANGUSHA KILIO BAADA YA TIMU YAKE KUEPUKA KUSHUKA DARAJA




KOCHA WA SUNDERLAND DICK ADVOCCAT AANGUSHA KILIO BAADA YA TIMU YAKE KUEPUKA KUSHUKA DARAJA
Kocha wa Sunderland Dick Advoccat alijikuta akilia baada ya mchezo dhidi ya Arsenal kumalizika kwa sare ya 0-0 na hivyo kupata pointi moja muhimu kwao.
Pointi hiyo moja ilitosha kuwahakikishia Sunderland kubaki Ligi Kuu msimu ujao na hapo ndipo kilicho cha furaha cha Dick Advoccat kilipokuja.
Sunderland manager Dick                  Advoccat cut an emotional figure as Sunderland secured                  their Premier League survival with the draw at Arsenal
Kocha wa Sunderland Dick Advoccat akiangusha kilio cha furaha baada ya kupona janga la kushuka daraja
Advocaat embraces midfielder                  Lee Cattermole following Sunderland's 0-0 draw at the                  Emirates Stadium which secured their survival
Advocaat akikumbatiana na kiungo  Lee Cattermole huku akilia baada ya mchezo dhidi ya Arsenal
Advocaat hugs goalkeeper                  Costel Pantilimon on the Emirates Stadium pitch after                  the stopper made a number of impressive savesAdvocaat anamkumbatia kipa Costel Pantilimon ambaye aliokoa michomo mingi sana





Comments