FUJO ZA VAN GAAL ZAANZA, MAN UNITED YATUMA MAOMBI KUMSAJILI RAHEEM STERLING ...mwiko wa miaka 51 hatarini kuvunjwa


Manchester United imepeleka maombi ya kutaka kumsajili winga wa Liverpool Raheem Sterling.
Hakuna mchezaji aliyewahi kukatiza moja kwa moja baina ya timu hizo mbili zenye upinzani wa hali ya juu tangu mwaka 1964 wakati Phil Chisnall alipotoka United na kujiunga na Liverpool.
Hata hivyo Liverpool wameiambia Manchester United kuwa hawana mpango wa kumuuza nyota huyo wa kimataifa wa England.
Raheem amekataa kusaini mkataba mpya na amemwambia wazi kocha wake Brendan Rodgers kuwa anataka kuondoka Liverpool kiangazi hiki.
Manchester United have made                  a sensational enquiry about the prospect of signing                  Raheem Sterling
Manchester United imetupa ndoano kwa Raheem Sterling
Sterling was back at                  Liverpool's Melwood training ground on Wednesday after                  their awards evening
Sterling akiwasili mazoezini Liverpool Jumatano jioni
Sterling would be first                  Anfield star to move to United in 51 years since Phil                  Chisnall moved back in 1964
Sterling atakuwa mchezaji wa kwanza kutoka Anfield kwenda United na kuvunja mwiko wa miaka 51 wakati  Phil Chisnall alipojiunga na Liverpool  1964 akitokea Old Trafford.





Comments