DEPAY ATUA ENGLAND NA KUSEMA ATAFIKIA KIWANGO CHA RONALDO NA MESSI



DEPAY ATUA ENGLAND NA KUSEMA ATAFIKIA KIWANGO CHA RONALDO NA MESSI
Memphis Depay ametua London kwa mapumziko mafupi na kudai atakuwa mchezaji bora duniani wakati huu anapojiunga na Manchester United.
Klabu hiyo ya Old Trafford ilitangaza kumnasa nyota huyo wa kimataifa wa Holland kwa pauni milioni 25 wiki iliyopita na anakuwa mkali wa kwanza wa hali ya juu kusajiliwa na Louis van Gaal msimu huu.
Depay anaweza kufikia kiwango cha Lionel Messi na Cristiano Ronaldo na kuwa mwanasoka bora duniani.
"Watu wengi wananifananisha na Crtistiano Ronaldo, nafurahi kusikia hivyo, lakini wakumbuke kuwa ndio kwanza nina umri wa miaka 21, ila naamini siku moja nitafikia levo yake," alisema Depay.
Depay ametua England kwa ndege ya kukodi lakini atarejea Holland kuishuhudia timu yake ya PSV ikicheza mchezo wake wa mwisho dhidi ya Den Haag Jumapili hii.
Hata hivyo Depay hatacheza mchezo huo akihofia kuumia katika mechi ya kukamilisha ratiba kabla hajatua rasmi Old Trafford.
Memphis Depay, in London on Wednesday, believes he                can become one of the world's best players
Memphis Depay baada ya kutua London Depay (centre) is joining                    Manchester United from PSV Einhoven on a deal worth                    £25million
Depay (katikati anajiunga na Manchester United kwa pauni milioni 25
Depay was dressed in a smart blue blazer and jeans
Depay was visiting England for the first time since                  agreeing to join United
Depay akiitembelea England kwa mara ya kwanza na United  
Depay (second left) with Nicolas Isimat-Mirin (left),                Andres Guardado and Santiago Arias (far right) in Ibiza
Depay (wa pili kushoto) akipata mlo London
United new boy Depay poses on the steps of a private                plane ahead of his trip to London
Depay akipozi kwenye ngazi za ndege ya kukodi tayari kwa safari ya London



Comments