CRISTIANO RONALDO KWA RAHA ZAKE UFUKWENI



CRISTIANO RONALDO KWA RAHA ZAKE UFUKWENI
Kwa namna yoyote ile, huu ni msimu mwingine wa mafanikio kwa Cristiano Ronaldo. Magoli 61 katika mechi 54 kwa Real Madrid, kuchukua tuzo ya Ballon d'Or kwa mara ya tatu katika maisha yake, taji la UEFA Super Cup na taji la FIFA Club World Cup, si mafanikio madogo.
Ni kwa hali kama hiyo ndiyo inayomfanya Ronaldo asisite kujirusha na kufurahia maisha baada ya msimu kumalizika licha kuambulia nafasi ya pili ya La Liga, kutolewa kwenye nusu fainali katika Champions League na kutupwa nje kwenye kombe la mtoano la Hispania (Copa del Rey).
Picha zifuatazo zinamuonyesha Ranaldo akiwa kusini mwa Ufaransa akiponda raha ufukweni na washkaji zake.
Cristiano Ronaldo enjoying                  the sun in St Tropez as he enjoyed a break at the end of                  the season
Cristiano Ronaldo akifurahia jua la ufukweni
Ronaldo suns himself on a                  yacht in south of France after Real Madrid missed out on                  Champions League final
Ronaldo akipozi kwenye boti kusini mwa Ufaransa 
The 30-year-old Real Madrid                  forward relaxes with friends on the luxury yacht while                  on holiday
Ronaldo mwenye umri wa miaka 30 akila raha na marafiki zake




Comments