CHELSEA YAMNASA NATHAN KINDA WA BRAZIL MWENYE UMRI WA MIAKA 19 ...mwenyewe athibitisha kupitia Instagram


CHELSEA YAMNASA NATHAN KINDA WA BRAZIL MWENYE UMRI WA MIAKA 19 ...mwenyewe athibitisha kupitia Instagram
Chelsea imefanikiwa kumsajili kinda wa maajabu kutoka Brazil baada ya mchezaji huyo Nathan kuthibitisha mwenyewe kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Dogo huyo ambaye alifikisha umri wa miaka 19 mwezi Machi, alifika London mwezi uliopita kwaajili ya mazungumzo ya usajili huo pamoja na kufanya vipimo vya afya.
Bado hakuna taarifa rasmi kutoka Chelsea, lakini jana usiku Nathan aliweka picha Instagram akithibitisha safari yake ya kwenda Stamford Bridge akitokea Club Atletico Paranaense.
katika kushibisha picha hiyo, Nathan akaandika "Ndoto imetimia" huku pia akiishukuru klabu yake ya Club Atletico Paranaense aliyoichezea kwa miaka sita.
A photograph on Nathan's Instagram account appears                  to confirm his move to champions Chelsea
Hii ndio picha aliyotupia Nathan Instagram kuthibitisha safari yake ya kujiunga na Chelsea
The Brazilian wonderkid is highly rated, and could                  be in Jose Mourinho's first-team plans next season
Nathan kuvaa uzi wa blue msimu ujao




Comments