ARSENAL YATETEA TAJI LAKE LA FA KIULANI …YAIKANDAMIZA ASTON VILLA 4-0


ARSENAL YATETEA TAJI LAKE LA FA KIULANI …YAIKANDAMIZA ASTON VILLA 4-0
Ni moja ya fainali nyepesi kabisa kuwahi kutokea! Arsenal imefanikiwa kutetea taji lake la FA kiulani kabisa baada ya kuifunga Aston Villa 4-0.
Katika fainali hiyo ya FA iliyopigwa kwenye uwanja wa Wembley, hadi mapumziko Arsenal walikuwa mbele kwa bao 1-0 lililofungwa na Theo Walcott dakika ya 40.
Kipindi cha pili Arsenal walicharuka zaidi na kupata magoli mengine matatu yaliyofungwa na Alexis Sanchez dakika ya 50, Per Mertesacker dakika ya 62 na Olivier Giroud dakika ya 90.
Per Mertesacker wheels away                  in celebration after his second half header gives                  Arsenal a 3-0 lead against Aston Villa in the FA Cup                  final
Per Mertesacker akishangilia bao lake na lililoifanya Arsenal iongoze 3-0 dhidi ya Aston Villa kwenye fainali ya FA Cup
England international Theo                  Walcott shows his focus on the ball as he rifles Arsene                  Wenger's side into a 1-0 lead after 40 minutes
 Theo Walcott akiifungia Arsenal boa la kwanza
Villa defender Alan Hutton                  (left) is unable to get anywhere near Walcott's stunning                  left-foot volley as Arsenal take the lead
Beki wa Villa Alan Hutton (kushoto) akishindwa kuzuia mchomo wa Walcott  lililozaa bao la kwanza 
Given is unable to stop                  Walcott's powerful volley as Arsenal finally made the                  most of a dominate first half display
 Mkwaju mkali wa Walcott  ukijaa wavuni
Walcott wheels away in                  celebration of the stunning opening strike as Arsenal                  take a 1-0 lead into the break
Walcott akishangilia goli lake
Arsenal: Szczesny, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Coquelin, Cazorla, Ramsey, Ozil (Wilshere 76), Sanchez, Walcott (Giroud 76)
Aston Villa: Given, Hutton, Okore, Vlaar, Richardson (Bacuna 67), Cleverley, Westwood (Sanchez 70), Delph, N'Zogbia (Agbonlahor 52), Benteke, Grealish



Comments