ARSENAL YAPELEKA MAOMBI YA KUMSAJILI ILKAY GUNDOGAN



ARSENAL YAPELEKA MAOMBI YA KUMSAJILI ILKAY GUNDOGAN
Inasemekana Arsenal wamewasiliana na familia ya Ilkay Gundogan wa Borussia Dortmund kwaajili ya usajili wa kiangazi kijacho.
Ripoti kutoka Ujerumani zinasema Arsenal na Atletico Madrid wamekuwa wa kwanza kubisha hodi wakati Manchester United, Bayern Munich na Manchester City zikichukua tahadhari kutokana na rekodi ya majeruhi ya kiungo huyo.
United kwa sass imeamua kutohangaika na usajili wowote hadi msimu utakapoisha.
Irfay baba wa Gundogan ndiye wakala wa mwanae lakini Dortmund wamesisitiza kuwa hawajapokea ofa yoyote.
Ilkay Gundogan (right) is                  the subject of an intense transfer battle between a                  number of European giants
Ilkay Gundogan (kulia) anawaniwa na timu kubwa za Ulaya
Gundogan looks set to leave                  Dortmund this summer and potentially move to the Premier                  League
Gundogan anajiandaa kutimka Dortmund 



Comments