TOTTENHAM YAIPA NEWCASTLE KIPIGO CHA SITA MFULULIZO ...mashabiki wataka mmliki aachie ngazi



TOTTENHAM YAIPA NEWCASTLE KIPIGO CHA SITA MFULULIZO ...mashabiki wataka mmliki aachie ngazi
Christian Eriksen celebrates after            the Swedish midfielder's curling free-kick misses his            team-mates and Tim Krul in the Newcastle goal

Newcastle imefungwa mechi ya sita mfululizo kwenye Premier League baada ya kukubali kipigo cha 3-1 kutoka kwa Tottenham.

Mashabiki wa klabu hiyo wameanza kuingiwa na mashaka ya kushuka daraja na haikushangaza pale baadhi ya0 walipobeba mabango ya kumtaka mmiliki wa timu Mike Ashley abwage manyanga.

A young boy holds up one of the            hundreds of Ashleyout.com flyers handed out before the match

Nacer Chadli aliifungia Tottenham bao la kwanza dakika ya 30 lakini Jack Colback akawasawazishia wenyeji muda mfupi baada ya mapumziko.

Christian Eriksen akawapa wageni bao la pili kwa free-kick tamu kunako dakika ya 53.

Dakika ya 90 mshambuliaji hatari wa Tottenham Harry Kane akafunga goli la tatu, hili likiwa bao lake la 30 kwa timu hiyo katika mashindano yote msimu huu.

NEWCASTLE (4-1-4-1): Krul 4; Janmaat 6.5, Williamson 6, Coloccini 6, Anita 6 (Armstrong 75, 6); R Taylor 6; Gouffran 4.5 (Ameobi 46, 6), Colback 6.5, Abeid 4.5 (Obertan 46, 6), Cabella 5.5; Perez 6.5.


TOTTENHAM (4-2-3-1): Vorm 6; Dier 6, Vertonghen 7, Fazio 6, Rose 6.5 (Davies 81); Paulinho 6.5 (Mason 88), Bentaleb 6.5; Lamela 6, Chadli 7.5 (Dembele 78), Eriksen 7; Kane 6.5.


Comments