NEYMAR AIANGAMIZA PSG CHAMPIONS LEAGUE BARCLEONA IKITINGA KIULANI NUSU FAINALI


NEYMAR AIANGAMIZA PSG CHAMPIONS LEAGUE BARCLEONA IKITINGA KIULANI NUSU FAINALI

Neymar ameibuka shujaa baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya.

Katika mchezo wa kwanza Barcelona ilishinda 3-1 ugenini na sasa inapenya hadi hatua ya nusu fainali kwa jumla ya magoli 5-1. Neymar alifunga katika dakika ya 14 na 34.

Barcelona starting XI: Ter Stegen, Pique, Mascherano, Jordi Alba, Dani Alves, Rakitic, Busquets, Iniesta, Suarez, Messi, Neymar.

Barca subs: Bravo, Bartra, Adriano, Xavi, Rafinha, Sergi Roberto, Pedro. 

Paris Saint-Germain starting XI: Sirigu, Marquinhos, Maxwell, Van der Wiel, David Luiz, Cabaye, Matuidi, Verratti, Pastore, Cavani, Ibrahimovic.

PSG subs: Douchez, Camara, Digne, Lucas, Rabiot, Bahebeck, Lavezzi. 


Comments