Ikitoka nyumba 3-1 kufuatia kipigo            walichokipata ugenini wiki iliyopita, Bayern ikaibuka na            kidedea uwanja wa nyumbani baada ya kuvuna ushindi mkubwa wa            6-1 dhidi ya Porto.
        Porto ilishindwa kabisa kulinda            hazina ya ushindi  wa 3-1 iliokuwa nao mkononi na kujikuta            ikibugizwa 5-0 hadi kipindi cha kwanza kilipomalizika.
        Kwa ushindi huo, Bayern inatinga            nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa jumla ya bao 7-4.
        Mabao ya Bayern yalifungwa na            Thiago, Jerome Boateng,Thomas Muller, Xabi Alonso na Robert            Lewandowski aliyefunga mara mbili. Bao pekee la Porto            lilifungwa na Jackson Martinez. 
        Bayern Munich XI: Neuer, Rafinha,            Boateng, Badstuber, Bernat, Lahm, Alonso, Thiago, Muller,            Gotze, Lewandowski.
        Bayern subs: Reina, Dante, Pizarro,            Gaudino, Rode, Weiser, Schweinsteiger. 
        Porto XI: Fabiano, Reyes, Maicon,            Marcano, Indi, Herrera, Casemiro, Torres, Quaresma, Martinez,            Brahimi.
        
Comments
Post a Comment