YAYA TOURE AWATOSA VIBAYA WACHEZAJI WENZAKE WA MANCHESTER CITY


YAYA TOURE AWATOSA VIBAYA WACHEZAJI WENZAKE WA MANCHESTER CITY

Toure is likely to start against Barcelona on Wednesday              after missing the first leg through suspension

Yaya Toure amewatosa wachezaji wenzake wa Manchester City baada kushindwa kumtaja hata mmoja katika kikosi chake bora cha wachezaji 11.

Kiungo huyo akaamua kuwaweka kando nyota wa City kama Sergio Aguero, David Silva na Vincent Kompany na kuwataja wachezaji wenzake wa zamani Gerard Pique, Dani Alves, Andres Iniesta, Xavi na Lionel Messi aliokipiga nao ndani ya Barcelona.

Cristiano Ronaldo (left) and Lionel Messi are named in              the forward positions with James Rodriguez behind

Na katika kutia chumvi kwenye kidonda, Toure akawataja wachezaji wanne Iker Casillas, Sergio Ramos, Cristiano Ronaldo na James Rodriguez kutoka Real Madirid ambao ni wahasimu wakubwa wa Barcelona.

Manchester City star Yaya Toure failed to name a single              Premier League star in his current dream XI

Kikosi kamili cha Yaya Toure ni: Casillas, Ramos, Pique, Hummels; Dani Alves, Iniesta, Xavi, Schweinsteiger, James Rodriguez; Ronaldo, Messi.



Comments