Aliyekuwa mchezaji wa timu ya Taifa ya Brazil Legend Pele ametamka bayana kwamba Messi ni bora kuliko Ronaldo na bora zaidi duniani.
Mchezaji huyo            kutoka timu ya Taifa ya Argentina na klabu ya soka ya            Barcelona kutoka Hispania alijinyakulia tunzo 4 za mchezaji            bora wa dunia ukilinganisha na Ronaldo ambaye anazo 3 akiwa            anaitunikia Real Madrid na timu yake ya Taifa Ureno.
Pele alisema " wakati mwingi sana watu wamekuwa wakilinganisha ubora wa Messi na Ronaldo lakini wana aina tofauti ya mchezaji, alisema mchezaji huyo ambaye alifanikiwa kushinda kombe la dunia Mara 3 akiwa na timu yake ya Brazil.
Pele alizidi kusesema "Ni wachezaji wawili wakubwa lakini kwa miaka 10 iliyopita Messi amekuwa bora.
Sports week
Comments
Post a Comment