MARTIN SKERTEL AFUNGIWA MECHI TATU KWA KUMKANYAGA DAVID DE GEA ...kuikosa Arsenal na Newcastle



MARTIN SKERTEL AFUNGIWA MECHI TATU KWA KUMKANYAGA DAVID DE GEA ...kuikosa Arsenal na Newcastle

Martin Skrtel's foot lands on David de Gea's leg in the              incident which saw the FA charge the defender

Adhabu ya Martin Skertel kufungiwa mechi tatu baada ya kumkanyaga beki David de Gea wa Manchester United iko pale pale.

 

Beki huyo wa Liverpool sasa atakosa mechi za Ligi Kuu za Arsenal na Newcastle pamoja na mchezo wa marudiano wa robo fainali ya FA Cup dhidi ya Blackburn.

Skrtel, 30 ambaye alibahatika kukwepa adhabu katika mchezo wa kipigo cha bao 2-1 kutoka kwa United Jumapili iliyopita, alipinga ushahidi wa video ulioonyesha akimkanyaga De Gea lakini FA imetupilia mbali ombi lake.



Comments