JUVENTUS YAIFUMUA BORUSSIA DORTMUND NYUMBANI 3-0 LIGI YA MABINGWA, YASONGA MBELE KWA BAO 5-1 …Carlos Tevez noma



JUVENTUS YAIFUMUA BORUSSIA DORTMUND NYUMBANI 3-0 LIGI YA MABINGWA, YASONGA MBELE KWA BAO 5-1 …Carlos Tevez noma

The Argentine striker is mobbed by his Juventus              team-mates after his early strike gave the Serie A giants a              3-1 aggregate lead 

Miamba ya Italia Juventus imeingia hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa kibabe baada ya kuifumua Borussia Dortmund 3-0 kwenye uwanja wake wa nyumbani Signal Iduna Park.

Katika mchezo wa kwanza Borussia Dortmund wakachezea kichapo cha bao 2-1 ugenini na hivyo kuaga michuano kwa jumla ya bao 5-1.

Tevez completes the demolition job on Dortmund with a              clinical finish in the 79th minute 

Magoli ya Juventus yalifungwa na Carlos Tevez aliyetupia mawili dakika ya 3 na 79 huku bao lingine likiwekwa wavuni na Alvaro Morata dakika ya 79.



Comments