MABINGWA            watetezi wa ligi ya mabingwa barani ulaya, Real Madrid            watachuana na wapinzani wao wakubwa wa soka la Hispania,            Atletico Madrid katika mechi ya robo fainali ya UEFA.
        Timu hizi zilikutana            katika fainali ya mwaka jana (2014), Real Madrid wakisubiri            dakika 120 kuwapiga vijana wa Diego Simeone.
        Real walifuzu hatua ya            robo fainali kwa kuichapa Schalke ya Ujerumani, wakati            Atletico walisubiri mpaka mikwaju ya penalti kuwafunga Bayern            Leverkusen.
        DROO HII HAPA…..
                
Comments
Post a Comment