Droo Robo fainali UEFA yakamilika..Atletico v Real Madrid, PSG v Barcelona…..


Droo Robo fainali UEFA yakamilika..Atletico v Real Madrid, PSG v Barcelona…..
26AED8B600000578-0-image-m-3_1426846691902
MABINGWA watetezi wa ligi ya mabingwa barani ulaya, Real Madrid watachuana na wapinzani wao wakubwa wa soka la Hispania, Atletico Madrid katika mechi ya robo fainali ya UEFA.
Timu hizi zilikutana katika fainali ya mwaka jana (2014), Real Madrid wakisubiri dakika 120 kuwapiga vijana wa Diego Simeone.
Real walifuzu hatua ya robo fainali kwa kuichapa Schalke ya Ujerumani, wakati Atletico walisubiri mpaka mikwaju ya penalti kuwafunga Bayern Leverkusen.
DROO HII HAPA…..
11073327_628535603944679_5110235712612116354_n


Comments