BAADA YA KUTOLEWA NA PSG …CHELSEA WAKOMA NA MZAHA MITANDAONI



BAADA YA KUTOLEWA NA PSG …CHELSEA WAKOMA NA MZAHA MITANDAONI
BAADA YA KUTOLEWA NA PSG …CHELSEA WAKOMA NA MZAHA            MITANDAONI

Baada ya Chelsea kutupwa nje kwenye Ligi ya Mabingwa huku mshambuliaji wa PSG Zlatan Ibrahimovic akisema wapinzani hao walikuwa kama kundi la watoto wanaodeka uwanjani, picha za mzaha zimetawala mitandaoni kuwadhihaki vinara wa Premier League.

Picha kadhaa zimetupiwa mitandaoni zikiwa zimekarabatiwa na kuweka nyuso za watoto wachanga kwenye vichwa vya wachezaji wa Chelsea pamoja na kocha wao Jose Mourinho. Picha zingine zilionyesha wachezaji hao wakiwa wamefungwa nepi.

Chelsea's players are shown in nappies in the aftermath              of the Ibrahimovic sending off incident

PSG striker Zlatan Ibrahimovic had called the Chelsea              players 'babies' for their antics on Wednesday night 

Another rival fan makes light of Ibrahimovic's comments              with a cleverly captioned photo



Comments