LUIS SUAREZ AING’ARISHA BARCELONA IKIUA 3-1 LA LIGA …Lionel Messi naye acheka na wavu


LUIS SUAREZ AING'ARISHA BARCELONA IKIUA 3-1 LA LIGA …Lionel Messi naye acheka na wavu

Barcelona's deadly front three of Messi, Suarez and              Neymar walk off arm in arm after celebrating the second goal              of the game

Luis Suarez ameendelea kuwa moto wa kuotea mbali anapokuwa kwenye eneo la goli baada ya kuifungia Barcelona bao moja katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Granada.

Barcelona ikiwa ugenini kwenye mchezo huo wa La Liga, ikawachukua dakika 26 tu kupata bao kuongoza kupitia kwa Ivan Rakitic na kufanya wageni waende mapumziko wakiwa mbele kwa 1-0.

Croatia international Ivan Rakitic opens the scoring in              the first half after pouncing on a defensive error to score              from close range

Dakika chache baada ya mapumziko, Suarez akaifungia Barcelona bao la pili kabla ya Fran Rica  kupunguza moja dakika ya 53.

Zikiwa zimesalia dakika 20, Lionel Messi akahitimisha ushindi wa Barcelona kwa kufunga bao la tatu akimalizia kazi nzuri ya Suarez.

Lionel Messi completed the scoring for Barcelona as he              slid home from close range after unselfish play from Luis              Suarez

Granada: Oier; Nyom, Babin, Cala, Foulquier; Iturra, Rico, Marquez (Rochina 67); Bangoura (Candeias 79), Ibanez. Cordoba (Isaac 78)

Barcelona: Bravo; Alves, Bartra, Mathieu (Busquets 75) , Alba; Mascherano, Xavi (Rafinha 65), Rakitic; Messi, Neymar.



Comments