DIEGO COSTA AREJEA UWANJANI NA MAGUVU YAKE


DIEGO COSTA AREJEA UWANJANI NA MAGUVU YAKE

Although rusty, Costa proved an effective weapon for              Chelsea, putting a Didier Drogba-like performance

Diego Costa amerejea dimbani wakati Chelsea ikitoa sare ya 1-1 kwa Paris Saint-German baada ya kuwa nje kwa adhabu ya wiki tatu.

Costa hakuwa kwenye kiwango chake kama Mourinho alivyobashiri, lakini bado akawa tishio kwa mchezo wake wa kibabe uliojaa nguvu nyingi.

Luiz and Laurent Blanc look shocked as tempers begin to              flare at the Parc des Princes

Costa collides with Thiago Silva during a bad-tempered              game with no love lost between the two sides

Uwepo wake uliwaondolea utulivu mabeki wa PSG aliokuwa akiwasukuma huku na kule, akashinda mipira mingi ya kurusha na kona na muda wote akaonekana ni mtu wa kuleta misukosuko kwa wachezaji wa upinzani.

Diego Costa pushes David Luiz during the second-half of              a bad-tempered last 16 encounter



Comments