WAKALI WA PREMIER LEAGUE WAIPELEKA ALGERIA ROBO FAINALI, SENEGAL YALALA 2-0 KWA WAARABU



WAKALI WA PREMIER LEAGUE WAIPELEKA ALGERIA ROBO FAINALI, SENEGAL YALALA 2-0 KWA WAARABU

The Algeria squad celebrate taking the lead in the              AFCON Group C contest against Senegal

Magoli kutoka kwa wachezaji Riyad Mahrez wa Leicester na Nabil Bentaleb wa Tottenham yaliipatia Algeria ushindi wa 2-0 dhidi ya Senegal na kutinga robo fainali ya Afcon 2015.

Senegal inaungana na Afrika Kusini katika kufungasha virago kwenye kundi C huku Algeria ikipenya sambamba na vinara wa kundi hilo Ghana iliyoifunga Afrika Kusini 2-1.

Riyad Mahrez of Algeria celebrates his goal against              Senegal during their 2015 Africa Cup of Nations clash

Algeria walikuwa na kiwango bora zaidi na haikushangaza pale wachezaji hao wawili wa Ligi Kuu ya England walipotupia mabao wavuni na kukata tiketi ya robo fainali.



Comments