SOUTHAMPTON KING’ANG’ANIZI NAFASI YA TATU, YAICHAPA NEWCASTLE 2-1 …pata matokeo ya mechi zote


SOUTHAMPTON KING'ANG'ANIZI NAFASI YA TATU, YAICHAPA NEWCASTLE 2-1 …pata matokeo ya mechi zote

Elia (second left) is mobbed by his Southampton                team-mates after netting his second goal of the match                against the Magpies

Eljero Elia ambaye amejiunga na Southampton kwa mkopo wiki chache zilizopita, ameibuka shujaa kwa timu hiyo baada ya kuifungia magoli mawili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Newcastle.

Magoli ya Elia yalikuja katika dakika ya 14 na 62 na kuisadia Southampton iendelee kuwa kung'ang'ania nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England nyuma ya Chelsea na Manchester City.

Elia (left) ran straight to Southampton boss Ronald              Koeman to share in the moment of his first goal for the              club

Matokeo ya mechi zote za Ligi Kuu ya Engaland zilizochezwa Jumamosi ni:

Aston Villa0 - 2   Liverpool

Burnley       2 - 3   Crystal Palace

Leicester City       0 - 1   Stoke City

Queens Park Rangers    0 - 2   Manchester United

Swansea City         0 - 5   Chelsea

Tottenham Hotspur      2 - 1   Sunderland

Newcastle United           1 - 2   Southampton



Comments