SIKU YA KWANZA MAZOEZINI KWA KINDA WA REAL MADRID MARTIN ODEGAARD


SIKU YA KWANZA MAZOEZINI KWA KINDA WA REAL MADRID MARTIN ODEGAARD

Martin Odegaard and Gareth Bale set off during a sprint              exercise at Real Madrid training on Thursday

Kinda wa Norway Martin Odegaard aliingizwa moja kwa moja kwenye kikosi cha wakubwa katika siku yake ya kwanza ya mazoezi ya Real Madrid aliyojiunga nayo hivi karibuni.

Dogo huyo wa miaka 16 mwenye kipaji cha hali ya juu cha kutandaza soka, alionekana pichani akiwa sambamba na Gareth Bale katika zoezi la kukimbia Alhamisi asubuhi kwenye uwanja wa mazoezi wa klabu hiyo.

The Wales forward opens up his legs as he strides away              from the teenager, who joined the club last week

Bale uses his explosive power to burst away from              Odegaard during the sprint exercise

Bale alionekana akimhenyesha Odegaard kabla ya baadae kumpa maneno ya kumjenga huku akimkumbatia begeni.

Bale was spotted offering some words of encouragement              to Odegaard as he put his arm around his shoulder

Odegaard anategemewa kumalizia sehemu ya msimu iliyobakia akiwa na timu B lakini siku zote atakuwa akifanya mazoezi na kikosi cha kwanza chini ya kocha Ancelotti.

Norway international Odegaard insists he signed for              Real Madrid for sporting reasons, not financial

The 16-year-old, who signed a £40,000 per week              contract, listens on during the session on Thursday morning



Comments