NEYMAR MOTO CHINI BARCELONA IKIICHAPA ATLETICO MADRID 3-2 …makali ya Torres yarejea



NEYMAR MOTO CHINI BARCELONA IKIICHAPA ATLETICO MADRID 3-2 …makali ya Torres yarejea

Neymar silences the Vicente Calderon after firing              Barcelona 3-2 up on the night against Atletico Madrid in the              Copa del Rey

Barcelona imetinga nusu fainani ya Copa del Rey baada ya kuifunga Atletico Madrid 3-2 na kuvuka kwa jumla ya bao 4-2, shukran nyingi zinakwenda kwa mshambuliaji wa Brazli Neymar aliyefunga mabao mawili.

Fernando Torres mchezaji wa zamani wa Chelsea, anaonyesha dhahir 'kukufuka' upya kwenye timu yake ya utotoni ambapo ilimchukua sekunde 39 tu kuipatia Atletico bao la kuongoza.

Spanish striker Fernando Torres opened the scoring at                the Vicente Calderon after just 39 seconds during a                pulsating first-half

The former Chelsea striker has returned to his                boyhood club and has already strengthened his heroic                status at the Madrid club

Hata hivyo, dakika 9 baadae Neymar akaisawazishia Barcelona baada kupokea 'pande' tamu kutoka kwa Luis Suarez kabla ya Raul Garcia kufungia Atletico Madrid bao la pili dakika ya 30 kwa penalti ya utata.

Brazil star Neymar with a clinical finish within 10                minutes to level the scored at 1-1 on the night in the                Copa del Rey quarter-final clash

Neymar runs away in celebration with fellow Barcelona                forward Luis Suarez after scoring the away side's first at                the Vicente Calderon

Beki wa kutumainiwa wa Atletico Miranda akajifunga dakika ya 38 huku Neymar akihitimisha funga nikufunge kwa kuipa Barcelona bao la ushindi dakika nne kabla ya mapumziko kufuatia kazi nzuri iliyofanywa Lionel Messi.

ATLETICO MADRID (4-4-2): Oblak; Juanfran (Gamez, 58), Giménez de Vargas, Miranda, Siqueira; Raul Garcia, Gabi, Suárez, Turan (Cani, 63), Griezmann (Ñíguez, 45); Torres

Booked: Raul Garcia, Gabi sent off, Turan

BARCELONA (4-3-3): Ter Stegen; Dani Alves, Pique, Mascherano (Mathieu 61), Alba; Rakitic, Busquets, Iniesta; Messi, Suarez, Neymar (Pedro, 77)



Comments