MTOTO WA RONALDO MATATA SANA, ATEKA VICHWA VYA HABARI KAMA BABA YAKE …afanya kituko cha kukatisha mahojiano ya baba


MTOTO WA RONALDO MATATA SANA, ATEKA VICHWA VYA HABARI KAMA BABA YAKE …afanya kituko cha kukatisha mahojiano ya baba

Cristiano Ronaldo Jnr, in a Superman outfit,                gatecrashes his father's interview

Mtoto wa Cristiano Ronaldo kwa wiki nzima amekuwa akiteka vichwa vya habari kama baba yake – na habari iliyotesa zaidi ni ile ya mtoto huyo wa miaka minne kuzamia kwenye mahojiano ya baba yake huku akiwa kavalia kama Superman.

Mshambuliaji huyo wa Real Madrid alikuwa akihojiwa na channel rasmi ya timu ya taifa ua Ureno baada ya kushinda tuzo ya Ballon d'Or Jumatatu.

Mwanae, Cristiano Jnr aliyekuwa chumba kingine akavamia na vazi lake la Superman na kukatisha kwa muda mahojiano na kupelekea kicheko kwa baba yake.

Ronaldo Jnr was beckoned out on to the set by the                  interviewer, who then put his arm around the child
Cristiano Jnr akidekezwa kidogo na mtangazaji
Ronaldo then hugs his son and laughs as he speaks                  to the presenter, with his son getting embarrassed 
Ronaldo anamkumbatia mwanae huku akiendelea na mahojiano
The Real Madrid star then kisses his son neck and                  whispers in his ear
Hapa anamnong'oneza mwaneye


Comments