Mike Tyson kwenye collabo ya wimbo na Madonna, hakujua aliitiwa nini studio!



Mike Tyson kwenye collabo ya wimbo na Madonna, hakujua aliitiwa nini studio!

Mike-Tyson

Dunia ina mengi ya kuyakumbuka kuhusu bondia Mike Gerard Tyson, kuna ile rekodi ya kushinda mapambano mengi, makubwa lakini umri wake ulikuwa mdogo tu!
Aliweza kutengeneza umaarufu mkubwa, pesa nyingi kwenye umri mdogo na pia dunia ilikuwa na mtandao mdogo wa habari lakini kila mtu alimfahamu wakati ule.
Mike Tyson kajaribu na upande huu, kashirikishwa na collabo na staa Madonna, inaitwa ' iconic' ambayo ni moja ya nyimbo ambazo ziko katika album ya Madonna, Rebel Heartambayo iliibiwa na kuuzwa mtandaoni mwaka 2014 mwishoni na jamaa mmoja raia wa Israel.
"Sikujua kama Madonna aliniita pale kwa ajili ya kupiga story au kurap… niliongea kuhusu maisha yangu na nilisema mambo ambayo yaliwahi kuniumiza … " Tyson akiongelea namna walivyofanya collabo hiyo.Sauti yake imesikika mwanzoni kama mtu anayerap, sauti yake imefanyiwa utaalamu wa computer hivyo haisikiki kama sauti yake halisi.Hapa unaweza kuisikiliza collabo hiyo.Madonna


Comments