MBUNGE WA SIKONGE SAID NKUMBA ALIVYOTESA JUKWAA LA MSONDO LEADERS CLUB …pata picha 15 za onyesho hilo
Mbunge wa jimbo la Sikonge Mheshimiwa Said Nkumba Ijumaa usiku aliliteka onyesho la Msondo Ngoma pale Leaders Club baada ya kuonyesha umahiri wa kuimba nyimbo za bendi hiyo.
Lakini si hivyo tu, Said Nkumba akaonyesha pia umahiri wa kulicheza Msondo, kila aina ya uchezaji wa Msondo alikuwa nao kichwani.
Ukiondoa burudani ya Mheheshimiwa Nkumba, Msondo Ngoma nao kama kawaida yao huwa hawaribu, waliachia show maridadi.
Tupia macho baadhi ya picha zake pamoja na picha za baadhi ya wasanii wa Msondo Ngoma.
 Mheshimiwa Said Nkumba (kulia) akisakata Msondo
                     Goma la Msondo linaendelea kukolea
                     Msanii wa filamu Seif Mbembe (kushoto) akicheza na            Mheshimiwa
                     Said Nkumba na Mbembe wakiendelea kula rumba
                     Hapa sasa Mheshimiwa Said Nkumba yupo kwenye uimbaji
                     Said Nkumba aikiimba kea usahihi moja ya nyimbo za            Msondo
                     Athuman Kambi akiimba na Said Nkumba
                     Mwimbaj Juma Katundu akicheza Slyia Mwakilufi            Shemejiiiii
                     Huu sasa ni mduara wa mashabiki wa Msondo
                     Waimbaji Twanha, Kambi na Katundu wakishambulia            jukwaa
                     Abdul Ridhwan Pangamawe akifurahia kazi yake
                     Mnyupe na Romario na ala zao za upepo
                     Mwimbaji Twaha Malovee
                     Hassan Moshi TX Jr
                    Huyu ni Kidevu cheupe            Zahoro Bangwe akifanya yake
          















Comments
Post a Comment