MBUNGE WA SIKONGE SAID NKUMBA ALIVYOTESA JUKWAA LA MSONDO LEADERS CLUB …pata picha 15 za onyesho hilo



MBUNGE WA SIKONGE SAID NKUMBA ALIVYOTESA JUKWAA LA MSONDO LEADERS CLUB …pata picha 15 za onyesho hilo
MBUNGE WA SIKONGE SAID NKUMBA ALIVYOTESA JUKWAA LA MSONDO            LEADERS CLUB …pata picha 15 za onyesho hilo

Mbunge wa jimbo la Sikonge Mheshimiwa Said Nkumba Ijumaa usiku aliliteka onyesho la Msondo Ngoma pale Leaders Club baada ya kuonyesha umahiri wa kuimba nyimbo za bendi hiyo.

Lakini si hivyo tu, Said Nkumba akaonyesha pia umahiri wa kulicheza Msondo, kila aina ya uchezaji wa Msondo alikuwa nao kichwani.

Ukiondoa burudani ya Mheheshimiwa Nkumba, Msondo Ngoma nao kama kawaida yao huwa hawaribu, waliachia show maridadi.

Tupia macho baadhi ya picha zake pamoja na picha za baadhi ya wasanii wa Msondo Ngoma.

 Mheshimiwa Said Nkumba (kulia) akisakata Msondo
 Goma la Msondo linaendelea kukolea
 Msanii wa filamu Seif Mbembe (kushoto) akicheza na Mheshimiwa
 Said Nkumba na Mbembe wakiendelea kula rumba
 Hapa sasa Mheshimiwa Said Nkumba yupo kwenye uimbaji
 Said Nkumba aikiimba kea usahihi moja ya nyimbo za Msondo
 Athuman Kambi akiimba na Said Nkumba
 Mwimbaj Juma Katundu akicheza Slyia Mwakilufi Shemejiiiii
 Huu sasa ni mduara wa mashabiki wa Msondo
 Waimbaji Twanha, Kambi na Katundu wakishambulia jukwaa
 Abdul Ridhwan Pangamawe akifurahia kazi yake
 Mnyupe na Romario na ala zao za upepo
 Mwimbaji Twaha Malovee
 Hassan Moshi TX Jr
Huyu ni Kidevu cheupe Zahoro Bangwe akifanya yake

 



Comments