GHANA, 'Black Stars'            imeitungua Algeria 1-0 katika mechi ya pili yakundi C ya            michuano ya mataifa ya Afrika iliyopigwa uwanja wa Estadio de            Mongomo.
        Nahodha Asamoah Gyan            alirejea uwanjani baada ya kusumbuliwa na malaria, ameifungia            Ghana bao la ushindi katika dakika ya 90.
        Ushindi huo umewafanya            Ghana waungane na Senegal inayocheza muda huu, Algeria na            Senegal katika idadi ya pointi tatu.
        
Comments
Post a Comment