Waamuzi wa Mtanange                  Timu Kepteni walipata picha ya Pamoja.
                     Kocha wa Mbeya City            akipongezana na Kipa wake leo baada ya mpira kumalizika kwa            Ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Kagera Sugar Mchezo            uliochezwa kwenye Uwanja wa CCM-Kirumba Jijini Mwanza. Bao la            pekee la Ushindi la Mbaya City lilifungwa dakika ya 84 na            Peter Mapunda baada ya kuwatoka mabeki wa Kagera na kufunga            bao hilo ambalo kiujumla lilisababishwa na kujisahau kwa            mabeki wa Kagera Sugar.
Kocha wa Mbeya City            akipongezana na Kipa wake leo baada ya mpira kumalizika kwa            Ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Kagera Sugar Mchezo            uliochezwa kwenye Uwanja wa CCM-Kirumba Jijini Mwanza. Bao la            pekee la Ushindi la Mbaya City lilifungwa dakika ya 84 na            Peter Mapunda baada ya kuwatoka mabeki wa Kagera na kufunga            bao hilo ambalo kiujumla lilisababishwa na kujisahau kwa            mabeki wa Kagera Sugar.Tawira ya Mashabiki                  kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, Mbeya City                  wameifunga Kagera Sugar, wanaotumia Uwanja huo kwa Mechi                  za Nyumbani baada Kaitaba kufungwa kwa ukarabati, Bao                  1-0 kwa Bao la Dakika ya 84 la Peter Mapunda.
                    Mashabiki wa Mbeya                  City waliokuja kutoka Jiji la Mbeya kuja Mwanza kuwapa                  sapoti wenzao
                              Benchi la Mbeya City
                    Kocha wa Mbeya City                  Juma Mwambusi akiangalia Vijana wake kwenye Uwanja wa                  CCM Kirumba Jijini Mwanza.
                                        Mashabiki                    wa Mbeya City.
                        Wadau                    wa Soka wakiiendelea kuingia Jukwaa kuu katika uwanja                    wa CCM Kirumba
                        Mdau                    na mwandishi wa Blog ya Gsengo.blogspot.com wa jijini                    Mwanza akipata picha ya Pamoja na kiongozi wa Mpira                    Mjini hapa Mwanza.
                        Mashabiki                    wakiutazama mpira kwa hamu kubwa wa Ligi Kuu Vodacom                    Jijini Mwanza.
                        Mashabiki                    wa Mbeya City katika jukwaa kuu wakitazama matanange
                        Juma                    Mwambusi na Msaidizi wake wakiteta jambo
                        Nani                    kuugusa wa kwanza!!
                        Mchezaji                    wa Mbeya City akimbana wa Mchezaji wa Kagera Sugar
                        Mchezaji                    wa Mbeya City akiondosha mpira kenye eneo la hatari
                        Mashabiki                    wa Mbeya City wakishangilia bao baada ya Timu yao                    kupata bao katika dakika za Mwishoni dakika ya 84.
                                    Kocha                    wa Mbeya City Juma Mwambusi akihojiwa na Baadhi ya                    Waandishi wa Habari kwenye Uwanja wa Kaitaba jioni ya                    leo baada ya Timu yake kuibuka na Ushindi wa bao 1-0                    Dhidi ya Kagera Suagar ya mjini Bukoba. Picha na                    Faustine Ruta wa Bukobasports.com
            Raha                    ya Ushindi
                      
Comments
Post a Comment