GUINEA YASHINDA BAHATI NASIBU NA KUTINGA ROBO FAINALI AFCON



GUINEA YASHINDA BAHATI NASIBU NA KUTINGA ROBO FAINALI AFCON
Guinea-720GUINEA imeshinda kamari iliyopigwa kupata timu ya pili ya kundi D inayofuzu robo fainali ya kombe la Mataifa ya Africa, Afcon 2015 na sasa itacheza na Ghana katika hatua hiyo.
Sheria ya CAF kipengele cha 74 kimetumika kuamua mshindi baina ya Mali na Guinea ambao walimaliza wakifanana kwa kila kitu.
Sheria hiyo pia inatumika na shirikisho la soka Duniani FIFA.


Comments