GHANA HIYOOO ROBO FAINALI AFCON …yaichapa Afrika Kusini 2-1



GHANA HIYOOO ROBO FAINALI AFCON …yaichapa Afrika Kusini 2-1

Andre Ayew is overjoyed as his 83rd minute goal                secures victory for Ghana against Bafana Bafana 

Ghana ilitoka nyuma ikiwa kwenye hatari ya kuaga michuano na kutumia dakika 17 za mwisho kuilaza Afrika Kusini 2-1 na kutinga robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon).

Katika mchezo huo uliopigwa Jumanne, mabingwa hao wa mara nne, wakaonyeshwa mlango wa kuagia mashindano baada ya mkwaju mkali wa Mandla Masango kuipatia bao Afrika Kusini kunako dakika ya 17.

Lakini Ghana wakafanikiwa kugeuza matokeo katika kipindi cha pili cha mtanange huo uliochezwa kwenye dimba la Mongomo Stadium.

Mchezaji aliyetokea benchi John Boye akafunga kwa shuti la karibu dakika ya 73 kabla ya Andre Ayew hajafunga bao la ushindi dakika 10 kabla ya mchezo kumalizika.

Kwa matokeo hayo Ghana iliyokuwa kwenye hati hati ya kuaga mashindano, inavuka kama kinara wa kundi C.

Ghana players celebrate at the final whistle after                  they qualified for the quarter-finals 

Ghana players celebrate at the final whistle after they qualified for the quarter-finals 

The Black Stars topped Group C after their                  thrilling comeback victory on Tuesday night 

The Black Stars topped Group C after their thrilling comeback victory on Tuesday night 

South Africa players sit dejected on the pitch                  as Avram Grant's men celebrate victory with their fans 

South Africa players sit dejected on the pitch as Avram Grant's men celebrate victory with their fans 

Ghana's goalkeeper Razak Brimah sits dejected                  after Mandla Masango's stunning goal in the 17th                  minute 

Ghana's goalkeeper Razak Brimah sits dejected after Mandla Masango's stunning goal in the 17th minute 

Masango (left) races away to celebrate after his                  right-footed shot from outside the box opened the                  scoring 

Masango (left) races away to celebrate after his right-footed shot from outside the box opened the scoring 

The South Africa midfielder is mobbed by his                  team-mates after his early goal put his side into the                  lead 

The South Africa midfielder is mobbed by his team-mates after his early goal put his side into the lead 

South Africa coach Ephraim Mashaba (right) shakes a                  joke with Ghana boss Grant before the game 

South Africa coach Ephraim Mashaba (right) shakes a joke with Ghana boss Grant before the game 

Ghana fans await the start of their sides Group C                  clash against South Africa

Ghana fans await the start of their sides Group C clash against South Africa

Ghana's Andre Ayew (left) feels the full force of                  Anele Ngcongca's wild challenge 

Ghana's Andre Ayew (left) feels the full force of Anele Ngcongca's wild challenge 

Ghana forward Ayew rises high to meet a header                  under pressure from South Africa's Rivaldo Coetzee                  (left)

Ghana forward Ayew rises high to meet a header under pressure from South Africa's Rivaldo Coetzee (left)






Comments