FERGUSON ALIVYOSHAMBULIA JUKWAA LA EXTRA BONGO USIKU WA KUAMKIA LEO …pata picha 5 bab kubwa



FERGUSON ALIVYOSHAMBULIA JUKWAA LA EXTRA BONGO USIKU WA KUAMKIA LEO …pata picha 5 bab kubwa
FERGUSON ALIVYOSHAMBULIA JUKWAA LA EXTRA BONGO USIKU WA            KUAMKIA LEO …pata picha 5 bab kubwa

Haya ni mambo ya kawaida kwa wasanii kusalimiana kisanii. Usiku wa kuamkia leo rapa wa Mashujaa Band, Ferguson alipanda jukwaa la Extra Bongo na kufanya makamuzi makubwa

Ilikuwa majira ya saa 7.30 za usiku katika ukumbi wa Flamingo Magomeni ambapo Ferguson alipanda jukwaani na kushiriki kutumbuiza kwenye wimbo "Mtenda Akitendewa".

Kama inavyokumbukwa, Ferguson alishiriki kurekodi wimbo huo enzi hizo akiwa na Extra Bongo na hivyo kupanda kwake jukwaani kulisaidia kurejesha uhalisia wa wimbo huo hasa katika eneo la rap, eneo ambalo Ferguson alilitendea haki sana.

 
 
 
 

 

 

 



Comments