BARCELONA YAUA 6-0 LA LIGA …Messi, Neymar hawashikiki, Suarez awekwa kando


BARCELONA YAUA 6-0 LA LIGA …Messi, Neymar hawashikiki, Suarez awekwa kando

Barcelona defender Gerard Pique roars in delight having              given Luis Enrique's side a first-half lead

Gerard Pique amesherehekea vizuri mechi yake ya 200 kwa Barcelona baada ya kuifungia bao moja katika ushindi mnono wa bao 6-0 dhidi ya Elchie.

Katika mchezo huo wa upande mmoja wa La Liga, Pique alifungua kitabu cha magoli kwa bao la dakika ya 36.

Magoli mengine ya Barcelona yalifungwa na Messi dakika ya 54 (kwa penalti) na 88, Neymar 69, 71, Pedro 90+2.

Lionel Messi runs away in celebration having doubled              Barcelona's lead in the second-half at Elche

Brazilian superstar Neymar chips the approaching Elche              keeper to fire in the first of his brace on Saturday

Mshambuliaji Luis Suarez ambaye amekuwa na ukame wa magoli tangu ajiunge na Barcelona kutokea Liverpool, hakupata bahati kucheza katika mechi hii ambayo pengine ingemsaidia kuongeza akaunti yake ya magoli.

ELCHE (4-4-2): Tyton; Suarez, Roco, Pelegrin, Cisma (Albacar Gallego, 61); Gonzalez Morales (Rodríguez Lomban, 70), Pasalic, Rodríguez Romero, Fajr; Niguez Esclapez, Jonathas de Jesus

BARCELONA (4-3-3): Bravo; Montoya, Pique, Bartra, Alba (Busquets, 70); Xavi (Sergi, 72), Mascherano (Adriano, 70), Rafinha; Pedro, Messi, Neymar



Comments