BALOTELLI AUTAMZAMIA MPIRA WA LIVERPOOL NA CHELSEA NYUMBANI KWAKE


BALOTELLI AUTAMZAMIA MPIRA WA LIVERPOOL NA CHELSEA NYUMBANI KWAKE

Mario Balotelli posted an Instagram picture of himself              in a onesie watching Liverpool in his living room

Kwa mara ya pili mfululizo, kuumwa kumemfanya Mario Balotelli ashindwe kwenda uwanjani kuichezea Liverpool na kujikuta akiutazamia nyumbani  mchezo wa FA kati ya timu yake dhidi ya Chelsea.

Mchezaji huyo mtukutu akatupia picha kwenye ukurasa wake wa  Instagram ikimuonyesha akiwa sebuleni kwake akitazama mchezo huo ulioishia kwa sare ya 1-1.

Balottelli akaandika: "Kuumwa kunaweza kunifanya nishindwe kuisaidia timu yangu uwanjani lakini hakutanizuia kuisapoti timu yangu nje ya uwanja."



Comments