MBEYA CITY WAIBUKIA KWA NDANDA FC                        Baada ya kuboronga                katika mechi saba za mwanzo za Ligi Kuu Bara, kikosi cha                Mbeya City kimerejea na kupata ushindi.
        Ikiwa nyumbani Sokoine,                Mbeya City imeifunga  Ndanda                FC kwa bao 1-0.
        Bao lililofungwa dakika                ya 3 tu na Deus Kaseke lilidumu hadi mwisho wa mchezo.
                         
 
Comments
Post a Comment