
Uwanja wa Etihad.
David Silva alianza kuwafungia City dakika ya 23 kwa shuti la umbali wa mita 18 akimtungua kipa wa Burnley, Tom Heaton kabla ya Fernandinho kufunga la pili dakika ya 33.
Burnley ikazinduka na kusawazisha mabao yote hayo kupitia kwa George Boyd dakika ya 47 na Ashley Barnes dakika ya 81.

Burnley: Heaton, Trippier, Keane, Shackell, Mee, Boyd, Marney, Jones, Arfield, Ings na Barnes.
Comments
Post a Comment