
BAO pekee la Raheem Sterling limeipa Liverpool ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Burnley Uwanja wa Turf Moor katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo.
Mshambuliaji          hiyo kinda wa miaka 20 wa kimataifa wa England, alifunga bao          zuri baada ya kumzunguka kipa Tom Heaton.
        kabla          ya kuusukumia mpira nyavuni.
        Huo          ni ushindi wa kwanza kwa Liverpool katika Ligi Kuu ya England          msimu huu tangu walipoifunga 3-1 Leicester City Desemba 6, mwaka          huu.
         
 
Comments
Post a Comment