IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA COSMAS CHEKA KUZICHAPA FEBRUARI 28,2015

Mratibu wa mpambano wa ubingwa wa U.B.O Africa,Antony Rutta (katikati) akiwainua mikono juu mabondia Cosmas Cheka (kushoto) na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaopigwa  februari 28,2015  katika ukumbi wa frends corner manzese jijini Dar es salaam.
Mabondia Cosmas Cheka (kushoto) akitunishiana misuli na Ibrhahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O Africa utakaofanyika februari 28,2015 katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es salaam. picha na SUPER D BOXING NEWS


Comments