Kiungo              wa Chelsea, Cesc Fabregas 
          NYOTA              wa Chelsea, Cesc Fabregas ameachwa katika kikosi bora cha              msimu huu kilichochaguliwa na  Gary Neville na Jamie              Carragher na badala yake ameingizwa kiungo wa  Southampton,              Morgan Schneiderlin.
          Carragher              alitaka kumuweka Fabgregas katika kikosi chake kutokana na              kupiga pasi za mwisho 13 msimu huu, lakini Veville              alimchagua Schneiderlin.
          Kura              ziliamuriwa na watazamaji wa Sky Sports kupitia mtandao wa              kijamii wa Twita ambapo kiungo huyo wa 'Watakatifu'              amemshinda Fabregas.
           Schneiderlin              alipata asilimia 62 ya kura zote.
        Hii              ndio timu muunganiko iliyochaguliwa na Gary Neville na Jamie              Carragher 
        
Comments
Post a Comment