FABREGAS ACHOMOLEWA KIKOSI BORA CHA MSIMU


FABREGAS ACHOMOLEWA KIKOSI BORA CHA MSIMU
2366E2B900000578-2890638-image-a-46_1419896772774
Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas 
NYOTA wa Chelsea, Cesc Fabregas ameachwa katika kikosi bora cha msimu huu kilichochaguliwa na  Gary Neville na Jamie Carragher na badala yake ameingizwa kiungo wa  Southampton, Morgan Schneiderlin.
Carragher alitaka kumuweka Fabgregas katika kikosi chake kutokana na kupiga pasi za mwisho 13 msimu huu, lakini Veville alimchagua Schneiderlin.
Kura ziliamuriwa na watazamaji wa Sky Sports kupitia mtandao wa kijamii wa Twita ambapo kiungo huyo wa 'Watakatifu' amemshinda Fabregas.
 Schneiderlin alipata asilimia 62 ya kura zote.
Gary Neville and Jamie Carragher selected their                    combined team of the season so far on Monday night
Hii ndio timu muunganiko iliyochaguliwa na Gary Neville na Jamie Carragher 


Comments