 CHELSEA          imejitanua kileleni mwa Ligi Kuu ya England kufuatia ushindi wa          mabao 2-0 dhidi ya wenyeji Stoke City Uwanja wa Britania usiku.
 CHELSEA          imejitanua kileleni mwa Ligi Kuu ya England kufuatia ushindi wa          mabao 2-0 dhidi ya wenyeji Stoke City Uwanja wa Britania usiku.The Blues ya kocha Mreno, Jose Mourinho sasa inatimiza pointi 42 baada ya mechi 17, ikiwazidi kwa pointi tatu, mabingwa watetezi, Manchester City waliocheza mechi 17 pia. Man United wenye pointi 32 ni wa tatu baada ya
kucheza mechi 17 pia.
 John          Terry aliifungia bao la kwanza Chelsea akimalizia mpira wa kona          uliopigwa na kiungo Cesc Fabregas. Phil Bardsley alikuwa mwenye          bahati kwa kuonyeshwa kadi ya njano tu baada
John          Terry aliifungia bao la kwanza Chelsea akimalizia mpira wa kona          uliopigwa na kiungo Cesc Fabregas. Phil Bardsley alikuwa mwenye          bahati kwa kuonyeshwa kadi ya njano tu baadaya kumchezea rafu mbaya Eden Hazard.
Fabregas akaifungia bao la pili Chelsea zikiwa zimebakia dakika 12 kupulizwa kipyenga cha mwisho na kuwaweka sawa Th Blues kileleni.

 Kikosi          cha Stoke City kilikuwa; Begovic,
Kikosi          cha Stoke City kilikuwa; Begovic,Bardsley, Shawcross, Muniesa, Pieters, Nzonzi, Cameron/Adam dk68, Walters, Bojan, Arnautovic/Assaidi dk82 na Crouch/Diouf dk63.
Chelsea; Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry,
Azpilicueta, Mikel, Matic, Willian/Schurrle dk80, Fabregas, Hazard/Zouma dk90 na Costa/ Drogba dk85.

Comments
Post a Comment