
Uwanja wa St James' Park.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28, alifanikiwa kumzuia Steven Fletcher kuwafungia Sunderland wakati huo timu hizo zikiwa hazijafungana, lakini akachanika eneo la jichoni.
Taylor mara moja alipata huduma ya kwanza kutoka kwa timu ya madaktari wa Newcastle kabla ya kutolewa nje na kutibiwa kwa dakika saba kisha kurejea uwanjani na kushangiliwa kishujaa na mashabiki wa timu yake. Newcastle
ililala 1-0, bao pekee la Adan Johnson.


madaktari wa Newcastle baada ya kuchanika eneo la jichoni

Comments
Post a Comment