
Nahodha wa West Ham, Alex Song aliifunga timu yake ya zamani baada ya shuti lake zuri la umbali wa mita 25 kutinga nyavuni, lakini mshika kibendera namba moja akaseka alikuwa ameotea.

hadi mapumziko.
Cheikhou Kouyate akaifungia bao la kufutia machozi West Ham dakika ya 54 kwa kichwa akimalizia krosi ya James Tomkins.

Arsenal; Szczesny, Debuchy, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Coquelin, Flamini, Oxlade- Chamberlain/Chambers dk90, Cazorla, Welbeck/
Gibbs dk84 na Sanchez.
Comments
Post a Comment