ALEX SONG ADAI ALITAKA KUREJEA ARSENAL LAKINI KOCHA ARSENE WENGER AKAMPOTEZEA


ALEX SONG ADAI ALITAKA KUREJEA ARSENAL LAKINI KOCHA ARSENE WENGER AKAMPOTEZEA

The 27-year-old, who revealed he turned down Champions              League football, has been excellent this season

Kiungo wa West Ham Alex Song amefichua kuwa matarajio yake ilikuwa ni kurejea Arsenal baada ya kuondoka Barcelona kiangazi kilichopita, lakini Arsene Wenger hakumtaka.

Song ambaye amekuwa kwenye kiwango bora tangu aliporejea England, alichagua kujiunga na West Ham wakati Arsenal ikigoma ikigoma kuimarisha safu yake ya kiungo.

Song and Fabregas were both stars at Arsenal before              failing to hit the same heights after moving to Spain

Nyota huyo wa Cameroon, amedai yaliyomkuta ni yale yale yaliyomkumba Cesc Fabregas ambaye alitaka kurejea Arsenal lakini akaangukia Chelsea.



Comments