UZINDUZI WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA WAFANYIKA KWA SHAMRA SHAMRA ZA AINA YAKE



UZINDUZI WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA WAFANYIKA KWA SHAMRA SHAMRA ZA AINA YAKE
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba akielezea jambo katika hafla za uzinduzi wa Tuzo za Filamu Tnzania zilizofanyia mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
_N0A0270 Vijana kutoka Kigamboni Community Center wakitoa burudani wakati wa hafla za  uzinduzi wa Tuzo za Filamu Tnzania zilizofanyia mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam._N0A0439
Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Habari, vijana, utamaduni na michezo Prof. Elisante Ole Gabriel, akiongea neno wakati wa uzinduzi


Comments