USAJILI WA SEAMUS COLEMAN HATARINI!



USAJILI WA SEAMUS COLEMAN HATARINI!


Usajili wa Seamus Coleman kwenda   Man Utd's kwa kiasi cha £25m hatarini


CHELSEA wapo  tayari kutoa kiasi cha  £ 25million kwa mchezaji anayewindwa na  Manchester United  na nyota wa Everton  Seamus Coleman.    
                                                                                          
Mchezaji  huyo wa kimataifa wa Jamhuri ya Ireland  ni mmoja kati ya mabeki imara wa kulia kwenye  Ligi Kuu ya ya Uingereza katika kushambulia , na kusaidia kubadilisha vijana wa  Roberto Martinez  kupigania kumaliza katika nafasi nne za juu.
Coleman alisajiliwa na Toffees kwa kitita cha  £ 60,000 tu, kutoka Sligo Rovers, na sasa taya ameshafunga mabao matatu msimu huu kwa klabu  ya Merseyside.

Comments