Mwimbaji na rais wa Akudo Impact, Tarsis Masela Ijumaa usiku alizindua albam yake binafsi iliyopewa jina la "Acha Hizo".
Uzinduzi huo ulifanyika ndani ya ukumbi wa Ten Lounge na kusindikizwa na burudani kibao.
Miongoni mwa burudani zilizosindikiza uzinduzi huo ni Jahazi Modern Taarab, Akudo Impact na Mashujaa Band.
Kwa tathmin zaidi ya onyesho hilo, soma Aya 15 za Said Mdoe Jumatatu.
Pata picha kadhaa za onyesho hilo.
 Akudo Impact wakiwa jukwaani
                     Jahazi Modern Taarab
                     Mdau King Kif (katikati) akiwa na madansa wa Twanga            ambao nao walitia timu kushuhudia onyesho hilo
                     Leila Rashi wa Jahazi akiimba katika onyesho la            Tarsis Masela
                     Dj Anuary Sanga wa East Africa Radio akipozi na            Maria Soloma wa Twanga Pepeta
                     Tarsis Masela akifanya yake
                     Tarsis Masela akishambulia jukwaa na madansa wake
                     Tarsis Masela akiwa pamba mpya
                     MC wa onyesho hilo Hamis Dacota (kushoto)            akiwapandisha jukwaani Jahazi 
                     Tarsis Masela akikamua masauti yake matamu
                     Mzee Yussuf akisisitiza jambo jukwaani
                     Omar Baraka mkurugenzi wa Aset inayomiliki Twanga            Pepeta
                    Kutoka kushoto ni Cecy, Dacota, Anu na Chaz Baba
          













Comments
Post a Comment