TARSIS MASELA ALIVYOZINDUA ALBAM YAKE IJUMAA USIKU



TARSIS MASELA ALIVYOZINDUA ALBAM YAKE IJUMAA USIKU
TARSIS MASELA ALIVYOZINDUA ALBAM YAKE IJUMAA USIKU

Mwimbaji na rais wa Akudo Impact, Tarsis Masela Ijumaa usiku alizindua albam yake binafsi iliyopewa jina la "Acha Hizo".

Uzinduzi huo ulifanyika ndani ya ukumbi wa Ten Lounge na kusindikizwa na burudani kibao.

Miongoni mwa burudani zilizosindikiza uzinduzi huo ni Jahazi Modern Taarab, Akudo Impact na Mashujaa Band.

Kwa tathmin zaidi ya onyesho hilo, soma Aya 15 za Said Mdoe Jumatatu.

Pata picha kadhaa za onyesho hilo.

 Akudo Impact wakiwa jukwaani
 Jahazi Modern Taarab
 Mdau King Kif (katikati) akiwa na madansa wa Twanga ambao nao walitia timu kushuhudia onyesho hilo
 Leila Rashi wa Jahazi akiimba katika onyesho la Tarsis Masela
 Dj Anuary Sanga wa East Africa Radio akipozi na Maria Soloma wa Twanga Pepeta
 Tarsis Masela akifanya yake
 Tarsis Masela akishambulia jukwaa na madansa wake
 Tarsis Masela akiwa pamba mpya
 MC wa onyesho hilo Hamis Dacota (kushoto) akiwapandisha jukwaani Jahazi 
 Tarsis Masela akikamua masauti yake matamu
 Mzee Yussuf akisisitiza jambo jukwaani
 Omar Baraka mkurugenzi wa Aset inayomiliki Twanga Pepeta
Kutoka kushoto ni Cecy, Dacota, Anu na Chaz Baba

 



Comments