Nusu ya fainali ya kwanza ya mashindano ya DR MWAKA SPORTS XTRA          NDONDO CUP imepigwa hapo jana kwenye uwanja wa Bandari maeneo ya          Tandika Mwembe Yanga kati ya Tabata FC na Black Six,mchezo          ulimalizika kwa tabata kushinda bao 1-0 na kukata tiketi ya          kucheza fainali hapo tarehe 29/11/2014 kwenye uwanja huo huo wa          Bandari.mchezo huo uliweka rekodi ya mashindano ya NDONDO kwa          kuhudhuliwa na mashabiki wengi.
Mashabiki wa BLACK SIX ya Buguruni……….
          
SSSSMshambuliaji wa na YANGA Jerry Tegete alikuwa anaongoza          mashambulizi ya timu yake ya nyumbani TABATA FC…….
          
SSSSMkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media Group          Bwana Ruge Mutahaba,Fauzia Abdi pamoja Ibrahim Masoud 'Maestro'          walikuwepo kushuhudia mpambano huo…..
          
SSSSkutoka kushoto ni Mratibu wa mashindano Shaffih          Dauda,Mdhamini wa mashindano  Dr Juma Mwaka ,Ruge Mutahaba na          Ibrahim Masoud 'Maestro'
          
SSSSMpambano kati ya Tabata FC na Black Six ukiendelea kwenye          uwanja wa BANDARI maeneo ya Tandika Mwembe YANGA ukiendelea……
          
          
Comments
Post a Comment