MAN UTD WANAJIPANGA KWA GOLIKIPA WA BARCELONA KUCHUKUA NAFASI YA DAVID DE GE?



MAN UTD WANAJIPANGA KWA GOLIKIPA WA BARCELONA KUCHUKUA NAFASI YA DAVID DE GE?

Man Utd  wanajipanga  kwa golikipa wa  Barcelona  Marc-Andre ter Stegen kuchukua nafasi ya David De Ge?


Kipa huyo mwenye umri wa miaka 22  aliyehamia  Nou Camp kutoka Borussia Monchengladbach ya ujerumani  kwa karibu ya kitata cha  £ 10million katika dirisha la majira ya joto, lakini ameshindwa kuonyesha makali yake  chini ya kocha  Luis Enrique.

Ter Stegen bado hajapangwa kwenye ligi ya hispania( La Liga ) msimu huu, na Claudio Bravo ndiyo chaguo la kwanza kwenye miamba mitatu, lakini amepangwa mara nne kwenye  Ligi ya Mabingwa.                            
Na ripoti kutoka  Hispania zinadai kwamba kipa huyo wa  kimataifa wa ujerumani anatarajia kuihama timu hiyo katika dirisha dogo la usajili la januari, na United  ndiyo inaonekana kuwa ndiyo sehem anayoweza kuhamia .                                                                                                                                                          
Red Devils shot-stopper De Gea ameandaliwa kiasi kikubwa cha pesa na Real Madrid, na United  inaweza kugeukia kwa Ter Stegen kama  kipa wao wa  kwanza ataondoka kwenda Santiago Bernabeu                             










     

Comments