CHELSEA YAPUNGUZWA KASI LIGI KUU ENGLAND


CHELSEA YAPUNGUZWA KASI LIGI KUU ENGLAND

Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akipambana na beki wa Sunderland, John O'Shea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo uliomalizika kwa sare 0-0 Uwanja wa Light.
Mshambuliaji wa Sunderland, Connor Wickham (katikati) akikwatuliwa na beki wa kulia wa Chelsea, Branislav Ivanovic huku Gary Cahill wa Chelsea pia akifuatilia


Comments