kaizer Chiefs imeungana na Orlando Pirates kuitaka bodi ya ligi          ya Afrika kusini kuahirisha mchezo wa wapinzani wa jadi huko          Soweto.
          Pambano baina ya kaizer Chiefs na Orlando Pirates ulipangwa          kufanyika siku ya jumamosi , lakini kifo cha Senzo Meyiwa          kilichotokea jana usiku kimeharibu ladha ya pambano hilo.
          Akizungumza na waandishi wa habari , mwenyekiti wa Pirates Dr          Irvin Khozaamethibitisha juu ya timu yake kuomba pambano hilo          liahirishwe.
          
          Tumeiandikia barua bodi ya PSL na SAFA leo asubuhi , tukitaka          pambano letu na Kaizer Chiefs liahirishwe,.
          Pia tuliongea na mwenzetu Mr Kaizer Motaung leo asubuhikabla          hatujatuma barua.tulikubaliana nae.
          Kama utawala ingetuwia vigum kuendelea na maandalizi juu ya          mchezo wakati kuna msiba.
          Tunasubiri majibu , inawa tunaamini litasikilizwa na bodi ya          PSL.
          Khoza ataondoka leo jijini Durban kwenda kuungana na familia ya          Meyiwa.
Comments
Post a Comment